PreGE2025 Ramadhani Njala atangaza nia kugombea Ubunge Jimbo la Geita Vijijini kwa tiketi ya ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Ramadhan Njala Jumanne ameweka wazi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Geita vijijini kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Bw. Ramadhan ameweka wazi baadhi yaa vipaumbele vyake ambapo amesema lengo lake kubwa ni kuhakikisha anaunganisha wakazi wa Geita vijijini na kutetea maslahi mapana kwa kila mwananchi.

Naye Katibu wa Jimbo la Geita Vijijni Bw. Francis Masayi amesema chama kimelazimika kumteua Bw. Ramadhan kupeperusha bendera ya chama cha ACT Wazalendo katika eneo hilo.
Your browser is not able to display this video.

Chanzo:StromFm​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…