Wewe bana usilete kiswahili kirefu..Nimemuuliza mleta thread amalize yeye na nani?..wewe ukadandia treni kwa mbele na kuuliza kama swali langu ni zuri? na mimi nimekuuliza kivipi? Sasa kama unashindwa kufuatilia sentensi fupifupi kama hizi ukiletewa encyclopedia utaweza weye?