Sina jinsi bagosha hiiii nitawafajizia nyie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umejiunga na mtandao wakati umesema unatamani malaika waipotezee kule[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Acha chuki kwa wahaya tetemeko halikuletwa na waoNyumba ni nyumba hata Kama ni tembe ila kwa wahaya hali ni tofauti...yaani nyumba ya babu yako ulisubiri ianguke kwa tetemeko ndio uombe kujengewa nyingine? Nasema nyumba zilizobomomoka nyingi ni za zamani Sana! Ingekuwa huku usukumani ambapo kijana akipevuka tu anajenga nyumba yake tungeona nyumba mpya, ila kwa tabia ya wahaya ya "akataka ka tata" vijana wengi walikuwa wamegomea kutoka kwenye nyumba za babu zao! Jengeni zenu maana kwa awamu hii hakuna bure bure!
Mbaya zaidi eti waathirika wanaomba msaada wa chakula, kwa lipi? Kwani migomba nayo iliangukiwa na tetemeko? Mbona hatujaona hata kiroba cha mahindi au udaga kilichoangukiwa na nyumba....hata hivyo wahaya hawali "emyaka".
Namalizia kwa kusema "omunafu ayegimb'abyosi" maana yake: mvivu hutafuta visingizio ili kuficha uvivu wake( ukimwi, tetemek, nk.
Acheni uvivu! Mjini Alepo watu wanatafuta riziki iweje hapo Bukoba?
Kama kuwaambia ukweli ndio chuki basi, ila Mimi pia ni mhaya wa kuzaliwa, wazazi wangu wote ni wahaya ila hii tabia ya kutafuta sifa nasema hapana!Acha chuki kwa wahaya tetemeko halikuletwa na wao
Umeandika ila hujawazaNyumba ni nyumba hata Kama ni tembe ila kwa wahaya hali ni tofauti...yaani nyumba ya babu yako ulisubiri ianguke kwa tetemeko ndio uombe kujengewa nyingine? Nasema nyumba zilizobomomoka nyingi ni za zamani Sana! Ingekuwa huku usukumani ambapo kijana akipevuka tu anajenga nyumba yake tungeona nyumba mpya, ila kwa tabia ya wahaya ya "akataka ka tata" vijana wengi walikuwa wamegomea kutoka kwenye nyumba za babu zao! Jengeni zenu maana kwa awamu hii hakuna bure bure!
Mbaya zaidi eti waathirika wanaomba msaada wa chakula, kwa lipi? Kwani migomba nayo iliangukiwa na tetemeko? Mbona hatujaona hata kiroba cha mahindi au udaga kilichoangukiwa na nyumba....hata hivyo wahaya hawali "emyaka".
Namalizia kwa kusema "omunafu ayegimb'abyosi" maana yake: mvivu hutafuta visingizio ili kuficha uvivu wake( ukimwi, tetemek, nk.
Acheni uvivu! Mjini Alepo watu wanatafuta riziki iweje hapo Bukoba?
[emoji15]Sawa nimekuelewa,ntakuja mwaka 2019 kuwapa pole,MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU.
Rais ana kazi nyingi muhimu zaidi.Ni Rais wa Tanzania yote sio Kgera peke yake. Msimuonee bure hili hata watangulizi wamelifanya na mmekaa kimya.
Rais mstaafu Benjamin Mkapa akiwa Amiri jeshi mkuu aliamuru chombo chake cha dola kuwaua wazanzibari( unguja na Pemba)kwa risasi na kuangamizwa zaidi ya roho 20 wakati yeye akiendeleza utalii Ulaya raha mustarehe. Hakusitisha ziara yake na kuendelea kama kawaida kama vile wliokufa ni Panzi tu.
Sasa hawa watu 17 tu ndio iwe mwao, tena vifo hivyo hajavisababisha yeye!Mhe.JPM endelea kutumbua majipu, hayo ndio kipaumbele chetu kwa sasa.