BABA TUPAC JF-Expert Member Joined Sep 30, 2015 Posts 1,533 Reaction score 3,837 Dec 6, 2015 #1 Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara Attachments 1449418343272.jpg 43.5 KB · Views: 527
Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,489 Reaction score 6,883 Dec 6, 2015 #2 NYOSSO said: Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara Click to expand... Magufuli anabana matumizi wewe unaongeza dah
NYOSSO said: Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara Click to expand... Magufuli anabana matumizi wewe unaongeza dah
Dupe JF-Expert Member Joined Jan 21, 2013 Posts 1,668 Reaction score 813 Dec 6, 2015 #3 Sasa hiyo unavaaje?!! Ka mgambo banah
N Ndala ndefu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 237 Reaction score 42 Dec 6, 2015 #4 NYOSSO said: Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara Click to expand... Aisee jombaaa, hata unipe bure hiyo sivai.
NYOSSO said: Raba kali ya mtumba inauzwa elfu themanini tu, ni namba 42. Ina muonekano mzuri kabisa sawa na mpya. Angalia picha ukiipenda ni pm tufanye biashara Click to expand... Aisee jombaaa, hata unipe bure hiyo sivai.
BABA TUPAC JF-Expert Member Joined Sep 30, 2015 Posts 1,533 Reaction score 3,837 Dec 6, 2015 Thread starter #5 Ngoja waje wanaozijua watashangaa hata bei hiyo ilivyo ndogo. we tulia hapo hapo