Halooooo kaoogee bishanga abashaija mimi yawezekana alikua kiwembe but ndo hatma kakutana nanguo ya chuma soo makali yote yameisha
si unajua mi mtu wa kuruka viwanja! leo kwa Young_Master, kesho kwa Asprin, keshokutwa kwa Erickb52, mara tena Kaizer basi ilimradi tu raha!Nipo ndugu yangu, sema tu twapishana wakti! Halafu mbona we na Kaizer mnasogeleana sana, kulikoni best?
si unajua mi mtu wa kuruka viwanja! leo kwa Young_Master, kesho kwa Asprin, keshokutwa kwa Erickb52, mara tena Kaizer basi ilimradi tu raha!
Uliona wapi tembo kajichubuaYakikukuta utajibebaje? Yangu keyboard.
Wajipigia debe mbona hujielewMtondogoo kwa bishanga....kwi kwi...hapo utajenga banda.
Uliona wapi tembo kajichubua
Hisia ya nin weee hukohukoBeibe ujue umeanza kunipa hisia!
Bishanga, ebu nyoosha kidole chako cha kati cha mkono wa kulia, kichovye kwenye asali then kirambe uone! Kama hutorudia kuchovya tena, basi ni lazima utarudia kukiramba kidole mara kumi kumi!! Lol
Kwahiyo kwa kifupi unataka kunambia unaisaliti ndoa yetu?si unajua mi mtu wa kuruka viwanja! leo kwa Young_Master, kesho kwa Asprin, keshokutwa kwa Erickb52, mara tena Kaizer basi ilimradi tu raha!
Kwahiyo kwa kifupi unataka kunambia unaisaliti ndoa yetu?
nimeridhika na banda la Asprinito! lako hilo peleka kwa The secretary! khaaaa!Mtondogoo kwa bishanga....kwi kwi...hapo utajenga banda.
Bishanga, ebu nyoosha kidole chako cha kati cha mkono wa kulia, kichovye kwenye asali then kirambe uone! Kama hutorudia kuchovya tena, basi ni lazima utarudia kukiramba kidole mara kumi kumi!! Lol
Hisia ya nin weee hukohuko
Heheheeeee banda la mbao lolMtondogoo kwa bishanga....kwi kwi...hapo utajenga banda.
Kwa hiyo nawe unasarandia yupi anaekupa mtihani, mbali na my wife wako??
Heheheeeee banda la mbao lol
nimeridhika na banda la Asprinito! lako hilo peleka kwa The secretary! khaaaa!