babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Nini kimewasibu hawa kina dada ambao nyuma walikuwa na mahusiano ambayo yanakubalika na Muumba na kuhamua kuanza mahusiano na watu wa jinsia yao?<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Kichongeo kimetengenezwa kwa ajili ya kuchonga pencil, ukijaribu kuchonga kijiti ambacho kina size sawa na pencil hakichongi vizuri.sasa hawa kina dada kwenye relationships zao nyuma ni kwamba walipata pencils ambazo hazichongeki vizuri?<o></o>