Hivi kwa nn usingekuwepo utaratibu wa kureseat hz paper online hili hawa ndugu zetu wa Makazini wapunguziwe mzigo!
me nahisi wabongo tukishirikiana inawezekana km jamiiforum, michuzi, jigambeads, zoomtz na wengine wengi jinsi walivyoumiza kichwa na kuturahisishia maisha watanzania wa .com
upo uwezekano wa kuintegrate system mbili pamoja ambapo hata wale wa vijijini wakatumia njia ya kawaida na informations zikaingia ndani ya net na waliotown ni option kutumia njia moja wapo,ingawa ni issue kubwa lkn ni endelevu,kwani mwana wa jamiiforum pamoja na hawa washikaji wa jigambeads hawawezi create system km hiyo?