Hebu kuwa mstaarabu japo kidogo, mtu kauliza maana yake alikuwa anataka apewe taarifa; mwingine kajibu ili kumpasha taarifa aliyeuliza wewe unakuja na matusi. Hata kama hizo taarifa hazikukufurahisha wewe basi ni vyema ungeficha upumbavu wako kwanza. BTW: Inategemea uliitwa kwenye usaili wa nafasi ipi ya kazi, vinginevyo kama ni ile ya Finance Officer Tax Matters mi ndiye niliyekalia kiti hicho na nimesharipoti tayari hivyo tafadhali jaribu tena baadaye/kwingine!