Zile zina wenyewe kabisaa pale full vi memo kuna mikataba mipya itatolewa soon wale walioko ndani kama hukuja kwa memo umekwisha, sisi tulioko nje kama huna memo no interview.
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!
Da kazi za siku hizi! sipati picha miaka kumi ijayo soko la ajira litakuaje hapa Bongo, maana kwa utitiri huu wa vyuo tunakaribia kuwafikia wanaijeria, wasomi kibao, kazi hakuna! issue itabaki ni survival for the fittest!
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!