Kijana, hii ni Playstation yako ya kwanza nini?!
Hiyo bei umetoka nayo wapi mkuu.....?!
Bei ya soko haizidi laki 7 na hapo umewapiga watu inashuka sana tu......
Wewe unasema milioni 1 duh mkuu hebu uwe unatafiti kwanza. By the way, unajua kuwa PS5 ipo sokoni?!
Sent using
Jamii Forums mobile app