miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Habar zenu wana jamvi.......
Kuna tatizo ambalo linanitatiza mwenzenu,mwili wangu unakawaida yakuwa na joto maisha yangu yote kias ya kwamba mtu mwingine akinigusa anaweza akasema labda naumwa kumbe walaaaaah!!!
Kilichonifanya niandike uzi huu....nilipotoka kijiji hv karbun nikawa najisikia vbaya kias.Leo ikabid niende zangu hosptl nkapime malaria,u.t.i,typhod lkn vipimo vmeonyesha nna malaria 2 na hvyo vingine sina ila pia imeonyesha protein nying.Je protein hii inaweza ikaleta matatizo???au ni inakuaje??
Mungu awabariki sana....nategemea michango yenu wote na MziziMkavu, Dr.Mo, King'asti, mimi49
Kuna tatizo ambalo linanitatiza mwenzenu,mwili wangu unakawaida yakuwa na joto maisha yangu yote kias ya kwamba mtu mwingine akinigusa anaweza akasema labda naumwa kumbe walaaaaah!!!
Kilichonifanya niandike uzi huu....nilipotoka kijiji hv karbun nikawa najisikia vbaya kias.Leo ikabid niende zangu hosptl nkapime malaria,u.t.i,typhod lkn vipimo vmeonyesha nna malaria 2 na hvyo vingine sina ila pia imeonyesha protein nying.Je protein hii inaweza ikaleta matatizo???au ni inakuaje??
Mungu awabariki sana....nategemea michango yenu wote na MziziMkavu, Dr.Mo, King'asti, mimi49
Last edited by a moderator: