Ndugu wadau napenda kuwatangazia kwamba ninauza projector aina ya Sony. ina siku 20 tangu niinunue toka dubai , bei yake ni shilingi 1,300,000 ( milioni moja na laki tatu.
Mimi kwa sasa nipo Mwanza, yeyote atakuwa tayari naomba tuwasiliane kwa simu namba 0766466890. asante