Great thinkers naona utendaji wa Professor Assad ni mzuri sana, nakumbuka kipindi anateuliwa mi nilikuwa mmoja wa waliombeza ila ukweli ni mtendaji na ninamuomba msamaha. Tunahitaji kumuunga mkono!
Great thinkers naona utendaji wa Professor Assad ni mzuri sana, nakumbuka kipindi anateuliwa mi nilikuwa mmoja wa waliombeza ila ukweli ni mtendaji na ninamuomba msamaha. Tunahitaji kumuunga mkono!
Great thinkers naona utendaji wa Professor Assad ni mzuri sana, nakumbuka kipindi anateuliwa mi nilikuwa mmoja wa waliombeza ila ukweli ni mtendaji na ninamuomba msamaha. Tunahitaji kumuunga mkono!
Great thinkers naona utendaji wa Professor Assad ni mzuri sana, nakumbuka kipindi anateuliwa mi nilikuwa mmoja wa waliombeza ila ukweli ni mtendaji na ninamuomba msamaha. Tunahitaji kumuunga mkono!
Mtu mnafiki huonekana hapa hapa. Wewe si umeanzisha thread ya "CAG umechanganya professionalism na siasa".
Hivi nawe pia ni great thinker? Wacha double faces zako hizo!