Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

Uwezo wako wa kufikiri na poa hayo ni maoni yako hongera sana kwa kupost unacho fahamu
 
Ukiwa Mbeya upepo ndiyo huo hivyo ukitengwa na chama tawala ni lazima utafute uungwaji mkono kwa kutumia chama kingine hiyo siyo tatizo kabisa tatizo ni lile wazo kwamba hawa wakiondoka madarakani wakija wengine matatizo yetu yatakwisha??
 
Kwa mambumbumbu kama wewe kamwe huwezi kujua mchango wa Mwandosya ktk nchi hii, bali kwa wenye akili wanajua mchango wa Prof. Ameandika majarida mengi sana ktk Nyanja mbalimbali kwa wewe naamini hujawahi kusoma hata moja na wala huwezi kuelewa.
 
Kuna mambo yanayotia shaka kwenye kesi za.namna hii. N.a. vema Mahakama ya juu ikayatolea msimamo.
1.Hakuna kesi ya jinai inayofanyika bila kuwepo mlalamikaji(aliyeathirika) ambaye huwa ni shahidi 1(PW1).
2.He mtu kusema maneno ambayo mtu mwingine hatari kuwasikia ni jinai?
3.Kwa kuwa ni lazima aliyeathirika na kutukanwa aonyeshe athari zilizompata ni kigezo gani kilichotumika kuthibitisha kosa "beyond reasonable doubt"?
MENGINE
1.Ni kitu gani "kilichomkimbiza" hakimu baada ya kutoa hukumu ile?
2.Jana nilimsikia msemaji wa Magereza akisema two mfungwa akiachiwa halafu akakaa siku moja zaidi anakuwa ana "trespass", am ball kosa jingine la jinai, ilikuwaje mfungwa huyo aendelee ku trespass siku zote hizo?
2.Kama hiyo haitoshi, ni kwa nini "mhalifu" aliyeachiliwa apewe "lift" na gari ya RCO mpaka nyumbani kwake?
Nawaza tu!
 
Kutokuelewa namba 1 ndio inaonesha upungufu wako kichwani ! Hivi mpaka leo hujamjua MLALAMIKAJI katika kesi hii?? au kwa akili yako ulitaka RAIS ndio asimame MAHAKAMANI?? AIBU!
 
Mkuu uko sahihi mwandosya kazeeka anatakwa avuliwe uprofesa Ni wapi hukumu inasomeka kuwa sugu kafungwa kwa siasa hakuna neno siasa kwenye judgement nzima Mwandosya Kama profesa alitakiwa ajue hilo
Hii ya kumvua Uprofesa kwa kumtembelea Sugu ni ya kuanzia na kufungia mwaka!

Ulisikia pale Dr. Mwakyembe aliposomewa sehemu ya andiko lake la shahada ya uzamivu PhD alikosema serikali tatu ndio zinafaa halafu akawa anakataa mfumo huo wakati wa Bunge la Katiba?
Hicho ndio kinaweza kumuondolea mtu sifa ya kitaaluma.

Usisahau pia Mzee Mwandosya ni "icon" wa siasa za Mbeya na hii imetokana na yeye kuwa "fatherly figure" kwao wote!
 
Nakuunga mkono hapo unaposema prof ana siasa za kikanda ni kweli kabisa yan kama kavurugwa hivi..yeye inabidi apumzike tu maana kama ana ndoto ya uraisi umri ule ni kujidanganya tu. Sugu kamtukana raisi sasa alipooenda magareza alienda kutumikia alichostahili sasa huyu prof wenu aache mihemko ya kikanda
 
Kutokuelewa namba 1 ndio inaonesha upungufu wako kichwani ! Hivi mpaka leo hujamjua MLALAMIKAJI katika kesi hii?? au kwa akili yako ulitaka RAIS ndio asimame MAHAKAMANI?? AIBU!
Sijamjua.
Au ni RCO au DPP?
Sehemu ya pili ya hoja yangu ni kuwa he, hao watathibitishaje "beyond reasonable doubt" kuwa rahisi ametukanwa na kaathirika?
Supposing yeye angekuwa ameyachukulia kama mambo ya siasa tu?
My brother Mimi ni wanachama wa CCM ila hapa naongelea suala la kitaaluma sio kuhemka.
Tusipopeana maangalizo mambo haya yasije kutugeuka huko mbeleni.
Wabillah tawfiq!
 
Profesa hapangiwi nini chakufanya, mitazamo haiwezi fanana tuvumiliane
 



Kwa kuwa hajaliibia Taifa hawezi kukumbukwa!Tutawakmbuka daima waliojiuzia nyumba za serikali na nyingine kuzigawa kwa makahaba na ndugu zako!

Tutawakumbuka waliolisababishia Taifa hasara ya mabilioni kutokana na maamuzi yao ya kukurupuka!

Tutawakumbuka walionunua chuma chakavu kwa bilioni 10 na sasa chuma hicho kilichokuwa kinajulikana kama "MV Dar es Salaam" kilibatizwa na kuwa "kifaru cha jeshi"


Tutawakumbuka waliotokomea gizani na 1.5+Trilioni!

Tutawakumbuka milele waliojimilikisha mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira kupitia kampuni yao ya ANBEN!

Tutawakumbuka milele mafisadi wa Escrow,EPA,TanGold,Meremeta,Kagoda,DeepGreen,Radar,Wizara ya ujenzi na Majengo pacha ya BOT!

Tutawakumbuka walionunua Pangaboi ambalo sasa hivi lina mwezi mmoja linaoza pale Mwanza airport!

Tutawakumbuka wanaojenga uwanja wa ndege Chattle!

Tutawakumbuka waasisi wa jeshi la watu waliojulikana ambao wamegeuka mumiani kwa kunyonya damu za watu na miili kuitupa kwenye vilindi vya maji!

Tutawakumbuka waliowaita watoto wa masikini pale UDOM kuwa ni vilaza!

Tutawakumbuka walioijimilikisha hazina ya nchi kwa kumuweka mtoto wa Dada kuwa katibu mkuu hazina!

Orodha ni ndefu,Mwandosya hawezi kukumbukwa kwa sababu hakuyafanya hayo.
 
Kwani kosa la kisiasa lipoje????

Kama mnaweza kupindisha risasi hewani, mtashindwa kupindisha kosa????

Acheni mambo yenu
 
Umelogwa wewe
 
duu haya mambo ya siasa majanga
sasa sijui maneno yote hayo uliyoandika hapo juu yanini si ungesema tu "kafungwa kisiasa yatosha tu"
 
Kwa mambumbumbu kama wewe kamwe huwezi kujua mchango wa Mwandosya ktk nchi hii, bali kwa wenye akili wanajua mchango wa Prof. Ameandika majarida mengi sana ktk Nyanja mbalimbali kwa wewe naamini hujawahi kusoma hata moja na wala huwezi kuelewa.
Hayo majarida ya kucopy na kupaste yamesaidia nini nchi hii wewe mwelewa. Wewe ni zaidi ya mbumbumbu nafikiri wewe ni asshole!
 
Kumbe unajua huyo Prof hawezi kukumbukwa kwa lolote!! Sasa povu lote hilo la OMO la nini??
 
Were mtetee sisi tumshambulie usitulazimishe wote kula mihogo.
 
Kifungu kipi cha sheria halali za nchi hii kilitumika kumtia hatiani na kumfunga Sugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…