Prof. Mahalu hawezi kutoka, maana ile scandal yake ya kuchikichia Sh. 2.5 bilion kule Italy (alipokuwa Balozi) ndiyo imepozwa hivi karibuni tu na chama chake. Hivyo lazima aonyeshe utiifu wa hali ya juu hata kama hilo jambo siyo sahihi.
Prof. Mahalu hawezi kutoka, maana ile scandal yake ya kuchikichia Sh. 2.5 bilion kule Italy (alipokuwa Balozi) ndiyo imepozwa hivi karibuni tu na chama chake. Hivyo lazima aonyeshe utiifu wa hali ya juu hata kama hilo jambo siyo sahihi.