Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,414
Kwani speaker yupo juu ya katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa hadi akingie vifua wahalifu?Lakini Spika wa bunge ameshawakingia kifua na kuahidi kuwalinda.
Kuitisha hiyo press conference ni kitafuta njia ya kuhalalisha maneno ya spika kuwa bado anawatambua kama wabunge, kwamba bado hawajafukuzwa CHADEMA na hivyo wana haki ya kuendelea kuwa wabunge.
Kwani speaker yupo juu ya katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa hadi akingie vifua wahalifu?
TrueSikuona sababu ya msingi halima kuja na wazazi wake kwenye press ambayo kimsingi ilikua haiwahusu
Hiyo ilikua ni plan ya kiboya sana ili ku-catch attention za watu kupitia huruma
Hivi kinachomfanya spika awakingikie kifua ni kwa sababu gani?Lakini Spika wa bunge ameshawakingia kifua na kuahidi kuwalinda.
Kuitisha hiyo press conference ni kitafuta njia ya kuhalalisha maneno ya spika kuwa bado anawatambua kama wabunge, kwamba bado hawajafukuzwa CHADEMA na hivyo wana haki ya kuendelea kuwa wabunge.
Wakaunde kambi ya upinzan bungeni.Hivi kinachomfanya spika awakingikie kifua ni kwa sababu gani?
Vip kama kutakuwa hamna kambi ya upinzani bungeni, na mbona hawajadili na ACT wazelendoWakaunde kambi ya upinzan bungeni.
Basi hapo akina Halima wamehaidiwa kampunga kao hapo endapo watasimama na msimamo huokuna hela huwa zinatolewa na mabeberu kama trillion 2 hivi ambazo zinatakiwa kusimamiwa na kambi rasmi ya upinzani bungeni,ndiyo chanzo cha speaker kuwakingia kifua akina Halima.Kukiwa hakuna hiyo kambi rasmi basi mabeberu hawatoi hizo hela.ACT wazalendo hawajakidhi sifa kisheria kuunda kambi rasmi ya upinzani.
Walidhani wale wengine wangekuwa upande wao sasa lile tamko walilotoa la kumwomba mwenyekiti awatimue ni wasaliti limewakata mainiHawa mashangazi wamepatwa na nini?!Kwa nini wana nyuso za mfadhaiko?
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana.Yaani binadamu alivyoumbwa ni ngumu sana kuficha uovu aliofanya usoni pake,ni ngumu sana kuwa hodhari baada ya kufanya maovu na ni ngumu sana pia kuonyesha kuwa hajafanya maovu.Moyo wa binadamu umeumbiwa kufanya mema na wala siyo kufanya maovu.Poleni mashangazi ila mkome!View attachment 1639234
Utafikiri wanasubiria kwenda kunyongwaHawa mashangazi wamepatwa na nini?!Kwa nini wana nyuso za mfadhaiko?
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana.Yaani binadamu alivyoumbwa ni ngumu sana kuficha uovu aliofanya usoni pake,ni ngumu sana kuwa hodhari baada ya kufanya maovu na ni ngumu sana pia kuonyesha kuwa hajafanya maovu.Moyo wa binadamu umeumbiwa kufanya mema na wala siyo kufanya maovu.Poleni mashangazi ila mkome!View attachment 1639234