Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Hawa mashangazi wamepatwa na nini?!Kwa nini wana nyuso za mfadhaiko?
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana.Yaani binadamu alivyoumbwa ni ngumu sana kuficha uovu aliofanya usoni pake,ni ngumu sana kuwa hodhari baada ya kufanya maovu na ni ngumu sana pia kuonyesha kuwa hajafanya maovu.Moyo wa binadamu umeumbiwa kufanya mema na wala siyo kufanya maovu.Poleni mashangazi ila mkome!
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana.Yaani binadamu alivyoumbwa ni ngumu sana kuficha uovu aliofanya usoni pake,ni ngumu sana kuwa hodhari baada ya kufanya maovu na ni ngumu sana pia kuonyesha kuwa hajafanya maovu.Moyo wa binadamu umeumbiwa kufanya mema na wala siyo kufanya maovu.Poleni mashangazi ila mkome!