PRADO kaliii 16milion tu, 0689315582

Conroy

Senior Member
Joined
May 23, 2014
Posts
158
Reaction score
44
Au lipia 5milion unipe na gari moja kati ya haya (raum, ist, wish, gx110)
Gari ni Prado
Automatic
Turbo, Diesel
85,000km,
Bei sh milion 16, ukiinunua Unaichukua haidaiwi
Haina tatizo lolote njoo na fundi kagua Gari chukua mchuma
Sababu ya kuuza ni uhitaji wa 5milion haraka.
 

Attachments

  • IMG-20160710-WA0008.jpg
    67.9 KB · Views: 107
  • IMG-20160710-WA0012.jpg
    77.1 KB · Views: 97
  • IMG-20160710-WA0012.jpg
    77.1 KB · Views: 88
Picha moja tu?, tuwekee picha ya mbele na ya nyuma
 
Haya mambo haya!! nina ka-IST kangu akitokea mtu anataka tubadirishane na Prado ya hivyo inabidi nijiulize mara mbili mbili jinsi kanavyonipa ushirikiano kwenye fuel consumption sembuse niambiwe niongeze na M5 tena?
 
Sasa huu ujumbe wa km gari ilizokwishatembea si watatuingiza mjini sasa jamani
 
Sasa huu ujumbe wa km gari ilizokwishatembea si watatuingiza mjini sasa jamani

Dawa yao ni kwenda na fundi wako wa uhakika na mwaminifu maana kuna mafundi sio waaminifu,unamchukua kutest uzima wa Gari baadae muuzaji anaongea nae dili kuwa aseme Gari ni zima haina tatizo then anamuahidi percentage fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…