Namba ANumber gan? A,B,C ,OR D?
Haya mambo haya!! nina ka-IST kangu akitokea mtu anataka tubadirishane na Prado ya hivyo inabidi nijiulize mara mbili mbili jinsi kanavyonipa ushirikiano kwenye fuel consumption sembuse niambiwe niongeze na M5 tena?Au lipia 5milion unipe na gari moja kati ya haya (raum, ist, wish, gx110)
Gari ni Prado
Automatic
Turbo, Diesel
85,000km,
Bei sh milion 16, ukiinunua Unaichukua haidaiwi
Haina tatizo lolote njoo na fundi kagua Gari chukua mchuma
Sababu ya kuuza ni uhitaji wa 5milion haraka.
Gari mbona ipo garage mkuu??
Naomba kuuliza mkuu ni kama huwa kuna uchakuaji wa hizo km ilizokwishatembea au hakuna uwezekano huoDuh! Namba na km haviendani lambda kama ilipitia kidongo chekundu
Naomba kuuliza mkuu ni kama huwa kuna uchakuaji wa hizo km ilizokwishatembea au hakuna uwezekano huo
Sasa huu ujumbe wa km gari ilizokwishatembea si watatuingiza mjini sasa jamani
HahahNamba A huku ina km 85000 ilikuwa inasafiri kwenda kanisani siku za jumapili tu?