Pombe noma

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
83
Alikuwa anatokea kazini akapata lifi ya rafiki yake. Kumbe huyo rafiki yake alikuwa kalewa chakari wakapata ajali ,na haya ndiyo yaliyojiri baada ya kupona .unaamini ni kweli
 

Attachments

  • gal_oprah_show_03[1].jpg
    33.9 KB · Views: 158
Kagongwa na mlevi, sio alikuwa naendeshwa na mlevi. Ni mdada kutoka South America.
 
Bahati mbaya tu. Hata angegongwa na asiye mlevi angekua hivyo hivyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…