mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
mimi nawashauri kwenye mahojiano waseme...mikutano na maandamano ni haki ya kikatiba ya kila mtanzania. La msingi yawe ya amani kama ya chadema.
Ehee, itakuwa kinana kashapata taarifa - yetu macho!!Kulingana na mikutano, na maandamano ya CHADEMA, wakuu wa polisi Mara wametakiwa kujieleza.
harafu kazi utawapa wewe