Polisi hao ninawapongeza sana kwani wamewajibika vizuri, pia polisi wa Mikoa mingine waige mfano huo wa polisi wa Mkoa wa Mara, vilevile polisi tusiwe waganga wakienyeji kwa kutabiri mambo yatakayo tokea Kwenye mandamano badala yake pelekeni ulinzi. Pia polisi msidhani kuwa nyie ndio watoa vibali kwa ajili ya mikutano,maanamano au mikusanyiko ya Aina yeyote Bali mnapewa taarifa kwa ajili ya kutoa ulinzi tu.