Polepole: Cheche zangu hizi hapa

Pole Pole anadhalilisha tunu na ufahamu aliopewa Binadamu na Mungu ili kuwatofautisha na viumbe/wanyama wengine hususani Kuku.
 
Ukweli unatakiwa ulewe sana ndio uweze kusimama mbele ya kamera kuyazungumzia haya masuala ya madini na rushwa hasa ukiwa wewe ni mwanaccm! Mnaanzaje kumwaminisha mwananchi kuwa yale mliyoyafanya miaka ya nyuma siyo haya mnayoyapaka rangi kwa nje? Mliingia mikataba ya hovyo, juzi mnaahidiwa hiyo good faith tena kwa upfront na mtu yuleyule mliyemwita mwizi miezi mitatu nyuma mkamshangilia na kumbadilishia jina na kumwita a real friend! Hata yule mzungu aliwashangaa sana mjue!
Siamini na sitokaa niamini kuwa maendeleo ya nchi hii yataletwa na kusimamiwa na ccm! Yaani badala ya kufanyakazi kama chama tawala mnafanya ya kina Zitto et al.
 
Huwez kuwa timamu ukaandika upuuzi huu, unatuaminisha ccm ni chama chakuendelea kupewa nafasi leo tena toka 1977 kwa hali hii? Sheeenzi kabisa utakuwa mchawi wewe uzeeni
 
Magufuli ni level nyingine muda utaongea, kama issue ya madini ameiweza basi hatashindwa na kitu chochote tumpe ushirikiano tu Tanzania itafika mbali.

Ni ushirikiano upi wakati wewe mwananchi tu! au kumuombea na kama tunasikilizwa si tujiombee wenyewe kwanza, mambo ya kushadadia watu wanatimiza wajibu wao na tena wanalipwa ndio ulofa.
 
Mbona mkalimani alikuwa nyuma ya Thornton akitafsiri lakini kwa macho yako ya kibavicha hukumuona?
Ndio mlivyoaminishana kuwa bodyguard alivyomwambia atoke akakae nyuma ya Thornton, kwani kipaza kilikuwa nyuma ya Thornton? We kweli umelewa
 
Polepole alikuwa yuleee, sio huyu hapa, masikini! Mpaka huruma
 
Waipeleke Bungeni sasa hayo makubaliano wabunge wakayajadili kama ni kweli wanakiona walichokifanya ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…