Plot for sale!mbezi ya Kimara,temboni

Plot for sale!mbezi ya Kimara,temboni

vanilagal

Member
Joined
Dec 6, 2014
Posts
37
Reaction score
10
hello!kiwanja kinauzwa mbezi ya Kimara,kituo temboni kabla ya kufika mbezi mwisho upande wa kushoto ukiwa unatokea ubungo,km 4 from Moro goro road,ni nusu heka na bei!milion 16 hakina hati ila kina ile ya serikali ya mtaa!!contacts:0712882855.karibuni.
 
hello!kiwanja kinauzwa mbezi ya Kimara,kituo temboni kabla ya kufika mbezi mwisho upande wa kushoto ukiwa unatokea ubungo,km 2 from morogoro road,ni nusu heka na bei!milion 13,hakina hati ila kina ile ya serikali ya mtaa!!contacts:0712882855.karibuni.
Hehehe!! Bomoabomoa walisema wanapumzika mpaka mwaka mpya upite kuweni makini nahisi bado hawarejea kuendeleza kazi yao....
 
Km 2 Kutoka road hapo kidogo kuna wasi maana tinga tinga huko linapuyanga tu

OvA
 
Kama unachukua milioni 8, nicheki PM nije kulipia hata kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom