wakuu Bunju A sio rahisi kupata plot 25 kwa 25 kwa bei hiyo ml 3 kwa hata huwe milioni 10 cash huwezi kupata 7bu hata mabwepande kwenyewe pesa hiyo kupata 15 kwa 10 mtihani unatafuta kwa tochi
angalizo mtauziwa kiwanja kimoja watu 50
kuweni makini kabla hamjafanya bussnes mm nilinunua plot bunju b 20 kwa 16
ni kama mita 300 au 250 toka bagamoyo road ni upande wa kushoto ukiwa unaenda bagamoyo nilinunua mili 8 hiyo ni mwaka 2013 mwishoni na hakija pimwa wala nini sasa hivi watu wanafika mpk 15mln lkn sijakiuza sembuse bunju A labda huko mapinga na ndanindani ndo hutapata kwa bei hiyo
yaan hapa nasikia harufu ya utaperi tu
kuweni makini
nb:-
hayo nimetoa tu maoni yangu