Pinda Live Star TV

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,167
Reaction score
162,602
Msikilizeni Waziri mkuu akifanya mahojiana na mtangazaji wa star tv muda huu.

Kilichonifurahisha(sijui ni kutuzuga) ni mazingira ya mahojiano yana-reflect ile kauli ya "mtoto wa mkulima".
 
Kwani akisema yy mtoto wa mkulima ndo inakuwaje?
kwani wengine ni watoto wa nani?
 
Ajatoa amri tupigwe au amesema mtu akivunja sheria na apigwe
 
Ajatoa amri tupigwe au amesema mtu akivunja sheria na apigwe

Amekanusha kutoa dola kuhonga wajumbe wa NEC.Eti anasema mwenye ushahidi aupeleke TAKUKURU ili chama kichukue hatua na siyo kurusha uzushi kwenye mitandao.

Hivi TAKUKURU wanaweza kumkamata waziri mkuu?Labda nchi za wenzetu ila sio bongo.
 
Hana jipya huyu Pinda amepinda kama jina lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…