Pilau la nyama

nakwede97

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2021
Posts
2,573
Reaction score
8,112
Jana nikajitutumua nipike pilau eeh waah ni simple sana hakuna makolokolo mengi chap Kwa haraka Hivi ni viungo vyangu Kuna mchele nyamavitunguu vitatu vikibwa chumvi vitunguu saumu pamoja na pilau masala picha zinajieleza Kila kitu

 
Hawa ndiyo wenyekazi hiyo si wanaume. CC Mwachiluwi
 
Sema mapishi yanatofautiana, mimi hpo lazima niweke njegere, nyanya halisi na ya kiwandani, nazi, paprika, ukwaju kidogo, pilipili manga, uyoga kwa mbali na asali.
 
Hongera masta....

Mm pilau napenda nyama ipikwe kama roast pemben....ama la kama nyama ni nyingi iwekwe kwenye pilau, pia roast lipikwe pembeni πŸ˜‹
 
Mpaka nimesikia njaa, linavutia sana 😍😍😍
 
Sema mapishi yanatofautiana, mimi hpo lazima niweke njegere, nyanya halisi na ya kiwandani, nazi, paprika, ukwaju kidogo, pilipili manga, uyoga kwa mbali na asali.
Hiyo inakuwa pilau au dawa ya kutibu chunusi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…