Pikipiki zinaitajika mwenye nayo

Pikipiki zinaitajika mwenye nayo

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
Husika nakichwa chahabari hapo juu bajeti yangu nikama ifutayo
Pkpk ya kichina sanlg 150cc isoyo zidi miezi 5 tokea inunuliwe laki nane 800,000 nanua
Pkpk yakindi bajajibox I50 isiyo zidi miez 7 toka inunuliwe nanunua mill 1nalaki3 1,300,000 kwamawasiliano 0712690760 natanguliza shukran wanajf
 
mimi ninayo fekon. ina mwaka mmoja na nusu naiuza laki 8. mia
 
kunapikipiki za kijapan kubwa nzuri za kutembelea sio za bisahara kwayeyote anayetaka bei zake m 6.5 Tsh
 
Nimepata 1 bado naitaji wadau
 
mwizi huyu.... amezoea kununua vya wizi...

we hujiulizi toka utoe bandiko mpaka leo watu kimya... wameshtukia POX
 
Asant nimenunua moja nasaiv nipo kwenye gari naenda kukagua moja nabado moja kila m2mwiz kwavimishahara vyabongo namaisha yalivyo
mwizi huyu.... amezoea kununua vya wizi...

we hujiulizi toka utoe bandiko mpaka leo watu kimya... wameshtukia POX
 
Kwahiyo watu wanao nunua vitu jf vyawiz mbona mnakua ha2hovyo asha kumu maneno sio matus mnatumi ma...tk....kufikilia au mm nemesema kwawenye kuza
 
Back
Top Bottom