Pikipiki inahitajika haraka sana

The Red Pen

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
517
Reaction score
206
Pikipiki iliyotumika inahitajika haraka. Vigezo vifuatavyo vizingatiwe:-

1: Iwe imetumika si zaidi ya mwaka mmoja.

2: Isiwe ya wizi.Iwe ni mali halali ya mtu.

3: Iwe na nyaraka zote mhimu za umiliki.

4: Iwe ndani ya Dar es salaam.

5: Isiwe mbovu.

Haya sasa wakuu kazi kwenu....
 
Kuna super Huoniao inauzwa ... Pikipiki za kitanga !!! Number CVL ... Ishabadilishwa kwenda namba mpya !!! Ipo kariakoo dar es salaam ...
 
Kuna super Huoniao inauzwa ... Pikipiki za kitanga !!! Number CVL ... Ishabadilishwa kwenda namba mpya !!! Ipo kariakoo dar es salaam ...

weka bei yake pamoja na picha mkuu.
 
Iko moja huku ya kichina 1.5 imetumika miez 3
 
Nitafute nikupe piki piki sina ya sky mark nnayo bei 1.3mln
 
Jamani ndo kusema pikipiki used zimeisha? Au kwa kuwa nilisema SITAKI za WIZI..
?
 
Wewe huna nia ... Nimekuambia nicheki whatsapp nikitumie picha ... 0655 518090
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…