Namwona waziri anayeonekana kama anazungumza, halafu yupo Mbunge anayeonekana amenuna, sijui kwa kutofurahishwa na yanayosemwa na waziri?
Huyu waziri ni wa utalii, lakini haionekani kuwa hilo kundi lililosimama hapo ni watalii!, au ni wananchi anaowashutumu kuwa ni majangiri?
Halafu ni kwa vipi mkutano kama huo wa waziri wa wizara kama hiyo ufanyike sehemu ya kituo cha Afya? Au jangiri aliyenusurika kuuawa na wanyama pori kakimbiziwa kituoni hapo?
Hebu nipe alama zangu za udadisi mkuu 'Herzegovina', maana picha yenyewe ndivyo ilivyokaa, haisomeki hii!