herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,129
- 4,712
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50% hapo huyo waziri alikuwa ni Naibu waziri wa afya.Namwona waziri anayeonekana kama anazungumza, halafu yupo Mbunge anayeonekana amenuna, sijui kwa kutofurahishwa na yanayosemwa na waziri?
Huyu waziri ni wa utalii, lakini haionekani kuwa hilo kundi lililosimama hapo ni watalii!, au ni wananchi anaowashutumu kuwa ni majangiri?
Halafu ni kwa vipi mkutano kama huo wa waziri wa wizara kama hiyo ufanyike sehemu ya kituo cha Afya? Au jangiri aliyenusurika kuuawa na wanyama pori kakimbiziwa kituoni hapo?
Hebu nipe alama zangu za udadisi mkuu 'Herzegovina', maana picha yenyewe ndivyo ilivyokaa, haisomeki hii!
100%
Face expression inaonnyesha maneno anayoyasema Waziri hayatoki moyoni! Mbunge uvumilivu umeshindikana! Kuna mwanachi ana not down maelezo ya Waziri ili baadaye Waziri asije sema Wananchi walimnukuu vibaya 😂🤣😂🤣
Namwona waziri anayeonekana kama anazungumza, halafu yupo Mbunge anayeonekana amenuna, sijui kwa kutofurahishwa na yanayosemwa na waziri?
Huyu waziri ni wa utalii, lakini haionekani kuwa hilo kundi lililosimama hapo ni watalii!, au ni wananchi anaowashutumu kuwa ni majangiri?
Halafu ni kwa vipi mkutano kama huo wa waziri wa wizara kama hiyo ufanyike sehemu ya kituo cha Afya? Au jangiri aliyenusurika kuuawa na wanyama pori kakimbiziwa kituoni hapo?
Hebu nipe alama zangu za udadisi mkuu 'Herzegovina', maana picha yenyewe ndivyo ilivyokaa, haisomeki hii!
Nina uhakika waziri alijiongeza na kuondoka mapema, la sivyo ni lazima wangemchapa makofi.Face expression inaonnyesha maneno anayoyasema Waziri hayatoki moyoni! Mbunge uvumilivu umeshindikana! Kuna mwanachi ana not down maelezo ya Waziri ili baadaye Waziri asije sema Wananchi walimnukuu vibaya 😂🤣😂🤣
Nakata rufaa, siridhiki na alama niliyopewa.50% hapo huyo waziri alikuwa ni Naibu waziri wa afya.
Hahahaaaaaa nisamehe!!Nakata rufaa, siridhiki na alama niliyopewa.
Picha haikuonyesha ni ya lini!!