Picha: Mawe kwenye figo.

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729

Unashauriwa kunywa maji zaidi lita 2 hadi 5 kila siku ili kuepuka mawe kutengenezeka kwenye figo.

Maji ndio husafisha seli na kuondoa sumu na kemikali zinazojitengeneza mwilini kuwa mawe.

Mawe haya hutengenezeka kirahisi wasipokunywa maji ya kutosha

Chukua hatua, Okoa fedha na Maisha.
 
Mkojo unakuwa uchafu uliozalishwa mwilini baada ya metabolism process, uchafu huu unajumuisha chloride, sodium, potassium, creatine na ions nyingine Pia organic na inorganic matters. Hivi vyote vinahitaji maji ili viweze kuchujwa kwenye figo kutoka kwenye damu ili vitoke kama mkojo.

Usipokunywa maji ya kutosha uchafu huu hufanya vijiwe kama chumvi ya mawe kwenye figo na huleta maumivu makali sana.
kisu cha ngariba
 
Hayo sio mawe bali ni miamba kwenye figo
 
Kilimanjaro baridiii pia ina sifa kuu ya kusafisha figo chafu.
 
Ikifikia hatua hiyo Je figo inaweza kusafishika kwa kunywa maji mengi???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…