Picha: Kipanya Leo

Baba: Mwanangu mbona umeamka alfajiri
kwenda shule, kulikoni?
Mtoto: Baba namuwahi mwalimu wa bagia.
Baba: Mjinga sana wewe, badala ya kuwahi
elimu, wewe unawahi bagia?
Mtoto: Baba, unajua kiukweli kabisa kuwa elimu
haina mwisho, ila bagia mwisho saa nne.
 
naona bunduki ya polisi inatoka moshi ishara ya kwamba risasi ishapigwa na hilo policcm lina rangi ya kijani ya mafisadi wa ccm
 
Kama jambazi mwigulu vile...
 
Ni kama polis hawajui wanachokifanya manake bunduki wamezieleza nyuma wakati wao macho mbele
 
Tafsiri yake ni kwamba POLISI wanadhani wamejificha hawajulikani kuwa wauaji ni wao lakini BUNDUKI ZAO tell everything kwasababu bado zinatoa moshi ishara kwamba muda siyo mrefu zimetoka kutumika.wapi? PONDA, MWANGOSI, MIMI etc. hATA UKIENDA kwenye kumbukumbu za silaha zilizo toka tarehe husika unaweza kuona taarifa zikisema kwa mfano bunduki no..... imetumia risasi..... kwenye tukio..... je hapo kuna siri kweli? hata wajizibe vipi ukweli haujifichi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…