Baba: Mwanangu mbona umeamka alfajiri
kwenda shule, kulikoni?
Mtoto: Baba namuwahi mwalimu wa bagia.
Baba: Mjinga sana wewe, badala ya kuwahi
elimu, wewe unawahi bagia?
Mtoto: Baba, unajua kiukweli kabisa kuwa elimu
haina mwisho, ila bagia mwisho saa nne.