Phytodefence

Happiness1

Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
49
Reaction score
26
Phytodefence ni bidhaa ya Afya yenye bidhaa aina 3 ndani yake ⤵⤵⤵

1.Carotenoid complex.
🌠Huongeza kinga ya mwili kwa 37% kwa ikitumika ndani ya siku 20
🌠Huondoa vimelea vyote vya saratani
🌠Huongeza damu
🌠Hutengeneza ngozi
🌠Huongeza uoni
🌠Afya ya moyo hasa kusukuma damu
🌠Inalinda mwil
🌠Inaondoa sumu
🌠Msaada Mkubwa Kwa walioathirika na
📌Kansas📌H.I.V📌Kisukari n.k kurejesha Kings Asilia

2.Flavanoid 🌠Huondoa saratani na kuzuia kabisa kupata saratani hasa ya damu(leukaemia)
🌠Huongeza mng'ao wa ngozi
🌠Ni anti ageing. Uzee mwisho kwenye kitambulisho
🌠Afya ya nerves

3 .Cruciferous
🌠Huondoa uvimbe wowote mwilini,fibroids, myoma,ovarian cysts nk
🌠Inaondoa na kuzuia saratani ya shingo kizazi ,tezi dume nk
🌠Inazibua mirija ya uzazi(filopian tube)
🌠Inakausha na kuponesha vidonda na hali ya unyevu wa infections.

Piga / WhatsApp
0658379911View attachment 2360395
 
Picha tafadhalii
 
Ni mtu ananunua tu dawa anaendelea na maisha yake au ni zile pigo za forever living a.k.a gnld a.k.a good morning?
 
Hiyo "bidhaa" bei gani? Ukinunua ngapi unapata punguzo?

Dada Depal kuna supplements hapa nazo nikatae kama kabati.
 
Imefika muda sasa waafrika turudi kwenye tiba zetu za asili za mimea. Mtu unaletewa midawa na mijina mipya kila siku, huko hujui ndani yake kuna nini inapambwa kwa nyimbo na mapambia unabugia tu, hujui impact yake ya baadae. Tunageuka soko la hao washenzi kutuharibu.

Wake up fellow africans
 
Hiyo ni dawa au ni supplements...?
Hizi ni Saplement
Na wewe ndo unauza izo saplement ?

Dawa Iko wapi hapo? Hivyo ni virutubisho au saplement
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…