Phone for sale

Phone for sale

kim prince msofe

Senior Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
154
Reaction score
44
Boom j8 inauzwa TSH 300k inapatkana dsm kwa serious buyer njoo pm<br /><br />
66b521d7bb0c5605f25cc6af9d1f3508.jpg
3d47464660bb41a77f102ce9f4e4ae89.jpg
65adb5a9a316a3311a4736d062751fa6.jpg
2e2b805b3f25d781d0a5bd2c9e6ca46d.jpg
91badc9aaef6b0991c09e7b304a02ee1.jpg
 
Hebu tuwe wakweli, kidogo ALHAJI TECNO dukani ni tsh. 300K mpaka 270K brand new ndani ya box na warrnty ya mwezi mmoja, sasa ww unakuja hapa na picha zako ndani ya darasa sijui umesha kula ada unasema 300K haya labda wasubiri wa mkoani
 
Hii labda uwauzie wale wakulima wa wakorosho kutoka Mtwara na Lindi.....Maana kwa bei hiyo na kwa hadhi ya simu yenyewe, mteja utakayempata ni yute tu mwenye hela za kuchezea. Na kwa hapa TZ wakulima wa korosho ndio wenye hela za kuchezea kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom