huyu jamaa yupo fit. wmeongelea urais2015, utamtambuaje rais ajaye kuwa si mpenda rushwa? kimsingi ameonge vizuri sana, kasema huwezi kuwa baba dhaifu kwenye familia, ukategemea familia ikawa imara, lazima iwe dhaifu, pia huwezi kuja na slogan mbalimbali ukategemea kujenga uchumi imara, rais ni vitendo!