Peter Msigwa yuko star tv

majita kwetu

Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
38
Reaction score
16
jamani kabla ya ccm kuzima umeme mwagalieni na mmsikilize msigwa.yupo na lukambura diwani wa zamani wa kirumba kabla ya kushindwa ma chadema
 
Km unakimbizwa vile
Kipindi gani?
Wanazungumzia nini?
Recorded au live?
Halafu toa updates ,wengine hatuna TV.....ccm imetupa maisha magumu sana
 
namuangalia msigwa star tv anabomoka tu.wenye mapenzi nae na chadema muangalie
 
Mwambie asibomoke kama gorofa la TB Joshua ataua!!!!
 
Watanzania hatuna muda wa kumsikiliza huyu mhuni aliyejificha kwenye kivuli cha uchungaji!
 
Watanzania hatuna muda wa kumsikiliza huyu mhuni aliyejificha kwenye kivuli cha uchungaji!

Nimekimbia screen kwa kası ya ajabu baadae ya kussoma heading hii. Ahsante mleta hoja
 
Msigwa ni zaidi ya wabunge 30 wa magamba,nimekimbia sana kuwahi tv baadaya kuona heading ili nipate hekima za mch msigwa na nimefanikiwa kuwahi
 
Msigwa ni zaidi ya wabunge 30 wa magamba,nimekimbia sana kuwahi tv baadaya kuona heading ili nipate hekima za mch msigwa na nimefanikiwa kuwahi
 
huyu jamaa yupo fit. wmeongelea urais2015, utamtambuaje rais ajaye kuwa si mpenda rushwa? kimsingi ameonge vizuri sana, kasema huwezi kuwa baba dhaifu kwenye familia, ukategemea familia ikawa imara, lazima iwe dhaifu, pia huwezi kuja na slogan mbalimbali ukategemea kujenga uchumi imara, rais ni vitendo!
 
Nimemsikiliza mwanzo mwisho yupo very smart na hakuwa biased. Kipindi ni Agenda 2015 na mada ni sifa ya rais tumtakaye 2015 na lengo ni kutoa uelewa kwa wananchi kuelekea 2015. Kitakuwa endelevu kuelekea 2015 hivyo kitakuwa kinaalika watu mbalimbali. Every Monday after BBC news
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…