Hao siyo pentecostal unaowasema aisee! Ni manabii wa uongoPentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Yesu alikuja kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili?Mafanikio ya kimwili ni kwa ustawi wa duniani,mafanikio ya kiroho ni kwa ustawi wa roho.Ukifa Mungu atakuuliza ulimiliki magari au nyumba ngapi?Kila mtu huweza kwa sehemu. Yeye ameweza kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili ambayo nayo Ni muhimu pia kwa ustawi wa roho, Sasa wewe hubiri hayo uliyoandika hapo na mwingine atahubiri kuhusu bhangi na sigara na mirungi ambavyo havijaandikwa ktk maandiko matakatifu lkn lengo likiwa Ni ukamilifu.
Yesu Mara nyingi alisisitiza kuhusu mafanikio yakiroho. Lakini maandiko yanasemaje kuhusu mafanikio yakimwili? Ni rahisi zaidi kwa mtu wa rohoni kufanikiwa kimwili. Na bahati mbaya sana mfano mtu Kama mwamposa, mahubiri yake labda Kama mtu hamfuatilii, Yule anahubiri yote ya rohoni na mwilini.Yesu alikuja kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili?
Msitake kutufanya kuchukia miujiza.Yesu alikuja kuhubiri kuhusu mafanikio ya kimwili?Mafanikio ya kimwili ni kwa ustawi wa duniani,mafanikio ya kiroho ni kwa ustawi wa roho.Ukifa Mungu atakuuliza ulimiliki magari au nyumba ngapi?
Tafuteni ufalme wa Mungu kwanza mengine Mungu atawapa kwa ziada!Hamtubu wala kubadili njia zenu na mioyo yenu kazi ni kukaa mstari wa mbele kusikiliza miujiza."Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Imeandikwa pia, usihukumu, usije na wewe ukahukumiwa. Kwa maana kipimo utakachotumia kupimia wenzako ndicho hicho kitatumika kukupimia wewe. Wewe kazania roho yako hayo mengine mwachie mungu ndiye kuhukumu.Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Hapa upo sahihi. Hakuna aliye mtaja Mwamposa hapa tunaongelea in general wahubiri wa siki hiziYesu Mara nyingi alisisitiza kuhusu mafanikio yakiroho. Lakini maandiko yanasemaje kuhusu mafanikio yakimwili? Ni rahisi zaidi kwa mtu wa rohoni kufanikiwa kimwili. Na bahati mbaya sana mfano mtu Kama mwamposa, mahubiri yake labda Kama mtu hamfuatilii, Yule anahubiri yote ya rohoni na mwilini.
Hakuna aliyesema uchukie muujiza ninachoongelea ni kuwa karibu na Kristo kwanza na yote mtu anayohitaji atayatimiza.Msitake kutufanya kuchukia miujiza.
Miujiza Ni muhimu katika suala zima la kupandisha Imani ya mkristo. Usiibeze eti kwa sababu inafanywa na mwamposa.
Sasa Kama unaongelea wahubiri wa siku hizi hususani pentekoste Ni yupi aliehubiri ushetani? Au amehubiri kuwashape hi kutenda dhambi?Hapa upo sahihi. Hakuna aliye mtaja Mwamposa hapa tunaongelea in general wahubiri wa siki hizi
Ok Safi, kuzidishiwa huwezi kuzidishiwa kabla, utazidishiwa humohumo kwenye huduma yako. Mnachofanya ninyi Ni wivu kuona mtu kazidishiwa. Sababu za mtu kuzidishiwa Ni kwamba Mungu anaweza kufanya kitu Cha ajabu ajabu tu na ukafanikiwa. Mfano Ni yakobo kwa labani ambapo ilikuwa Ni Jambo dogo tu mifungo ikazaa wenye marakaraka Kisha akafanikiwa Hadi watoto wa labani wakaanza kulalamika kwamba yakobo amemtapeli baba yao.Hakuna aliyesema uchukie muujiza ninachoongelea ni kuwa karibu na Kristo kwanza na yote mtu anayohitaji atayatimiza.
Maandiko yanatimia au wewe hutaki maandiko yatimie?. Hayo yote yalitabiriwa yanapotimia wewe unaona ubaya gani?Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Inasikitisha yesu hakuwahi kuhubriri mahubiri ya mtindo uoShida sio kanisa shida ni msingi wa kuanzisha kanisa husika.Umeanzisha kanisa kwa madhumuni ya watu wamfuate Kristo au kwa manufaa yako binafsi?Unawahubiria waumini wako ukweli ?hususan ni kuachana na dhambi (kuzini,kuiba,kutembea na waume za watu)au unawahuburia wanachotaka kusikia masikioni mwao.
Wengi wao huduma zao ni kwa manufaa yao wenyewe,wanahubiri habari za mafanikio ya kidunia wanasahau kuhusu mafanikio ya kiroho,wanapotosha waumini na kuwafundisha ubinafsi.Hawahubiri katika roho bali wanahubiri katika mwili(motivational speaker)
Mchungaji mahubiri yake yote hujawahi kusikia akiongelea kuhusu dhambi na namna ya kukua kiroho,yeye mahubiri ni miujiza ,namna ya kufanikiwa kibiashara,kuangalia fursa na mengineyo ambayo siyo kwa ustawi wa rohina
Hali ngum yenyewe ndio hii watu kuangaika kutetea dgegeb na si neno la Mungu .Nyie walokole mna matatizo gani?? Huwezi fanya jambo au kuongelea jambo bila kutaja roman we ulisikia wapi roman ina hali ngumu?? Uzi wako unaonekana wakipuuzi kama hao wachungaji wenu wachumia tumbo wanavyowadanganya kila baya kulihusisha na roman hamuwezi maliza misa bila kutaja roman shame on you
Kama haina logic isingeitajika Akili takatifu na hekima takatifu na busara takatifu kuishinda ..Dhambi ni dhambi gaina logic yyt
N
TUNASUBIRI TAFSIRI YAKO MBONA KIMYA ?Kiukweli mm sina mgogoro na uhusiano uliopo kati ya ufunuo sura ya 13 na 17, tatizo ni vile unazitafsiri sura hizo bila ushahidi wa biblia yenyewe. We unafikiri kila mmoja akisema anachotaka si watu watachanganyikiwa? Na kwakwel biblia imeonekana kuwa figisu za watu na uongo kwa sababu ya watu tunaokuja na tafsiri zetu wenyewe kufit kile tunachotaka badala ya kuiacha yenyewe ituambie nn imekusudia kusema! Kumbuka mtu yeyote hapaswi kupunguza au kuongeza maneno ya unabii huo (ufunuo 22:18-19)
Kuhusu ulimwengu mzima kuwa wanafanya au wana sema au wana shuhudia siyo hoja labda uwe unapingana na kweli ya mungu ....maana katika kweli ya mungu inasibitisha kuwa ulimwengu mzima unakwenda kwenye upotevu ....mambo ya mungu hayapo katika mfumo wa kidemokrasia kwamba wengi wakisema ndiyo kweli kumbuka mafarisaya waliwaambia watu kuwa ni nani kati ya mmoja wetu anaye yakubali mafundisho ya huyo Yesu ....wakitumia logic kama yako ....yesu alikataliwa na viongozi wa dini walio wengi hivyo kanuni ya democracy aifanyi kazi mbinguni wala kwenye mambo ya mungu bali kwenye mamba ya mungu inaangaliwa ...kweli, haki, na utakatifu tu.Lviwa ulimwengu mzima wa wasomaji wa biblia wataniunga mkono kuwa huwezi kukitenganisha kitabu cha Daniel na ufunuo. Ishara zilizotumika huku zinatumika pia huku, hahahaa tumia biblia kuunga hoja zako mkono vinginevyo atakuja mwingine na kusema mnyama ni simba na 666 ni idadi ya mashabiki. Uko sahihi fumbo linatafsiriwa kama fumbo na huwezi kuvitafsiri vitabu hivi viwili (Daniel na ufunuo) kiharisia(literary)
Ati ukatoliki???huyu ndo mama wa makahaba,kazaa huu ukristo wa leo.hao sindio wachawi wadunia au hujui?Tuliwaambia haya makanisa ya kufokafoka yamekuja kuuharibu Ukristo mwamba imara pekee wa Ukristo utabakia kwenye Ukatoliki.
SDA kwisha, makanisa ya kilokole kwisha.makanisa hayana tofauti na kumbi za disco, wanawake wanavaa singlend na vimini suruari nyimbo za Dunia ndo nyimbo za injili
Naunga mkono hojaAibooo wanamwita Sir God Dady!!!😄😄😄Aisee Yani Kote mvurugano Tukienda Pentecost uko ni miujiza Roman Papa haeleweki😁😁 Lutheran nako wachungaji wanapenda Sadaka🤣🤣 na mali Sabato nako Chali wachungaji Hawasomeki🤣🤣 huku kwa ndgu zetu Wa Kobazi Majinii woiii utayapandisha kama Tuzo point za Halotel🤣🤣 Sijui nihamie Buddhism Yani nifuate Mafundisho ya Yesu na Mungu tu maana huku kwingine kunanichanganya kama CCM na CDM
Kwani wewe Ni dhehebu gani?Pentecost