VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Policarp Kadinali Pengo amesema kuwa wakristo washinde uovu kwa uovu. Lakini, washindanishe wema pale kwenye uovu. Anayasema hayo sasa Arusha kwenye Misa takatifu ya mazishi ya wahanga wa bomu la Parokia ya Olasiti Arusha. 'Msishindane uovu kwa uovu' anasema Kadinali Pengo. Mahubiri yake yanaendelea. Anazungumza taratibu lakini kwa umakini mkubwa
Oh from wicked,carry us away from captivity Required from us a song.....By the the rivers of Babylon
There we sat
When we remember Zion...