Paul Makonda anafaa kuigwa !


Nina reservations zangu; hata hivyo hili la Gwajima awachane nalo kwa sababu Gwajima swala lake bado liko PoliCCM; sio sahihi mtu mmoja kushitakiwa au kuhojiwa sehemu mbili tofauti kwa kosa lile lile! (kama lipo!!); haki za msingi za Askofu JG ziheshimike! duplicating roles sio utawala bora! vinginevyo Makonda risks kuonekana anajitafutia umaarufu kupitia a very unfortunate public altercation baina ya cardinal na Askofu; sio vema.
 
kila mtu ana mapungufu na mazuri yake,tusijikite kutoa hukumu kwa kuangalia upande mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…