Kwa Nini ukose nyumba mjini?.Pata nyumba za bei rahisi zote zinapatikana eneo la Mbezi malamba kituo mzalendo ni buku tu kwa bajaji kutoka mbezi stand (Bei na maeelekezo vipo kwenye picha).
Vilevile kuna viwanja vya kuanzia Milioni 2 kwa mita kumi kwa kumi na unakatiwa kulingana na hela yako. Pia nyumba zipo nyingi zaidi ya hizo za bei ya chini zaidi na za bei ya juu zaidi.
Kwa mawasiliano zaidi na maelekezo piga 0716694624.
Pia Kuna kiwanja mita 20 kwa 60 milioni 20 ila ukitaka 20 kwa 20 unakatiwa mil 7.
Kwa kuongezea hiyo nyumba nyeupe ya milion 20 ya vyumba sita ina wapangaji kwa hiyo kama ukitaka kununua na kupangisha kama hutaki kukaa mwenyewe ni vizuri zaidi
Pia Kuna kiwanja mita 20 kwa 60 milioni 20 ila ukitaka 20 kwa 20 unakatiwa mil 7.
Kwa kuongezea hiyo nyumba nyeupe ya milion 20 ya vyumba sita ina wapangaji kwa hiyo kama ukitaka kununua na kupangisha kama hutaki kukaa mwenyewe ni vizuri zaidi