Hilo swali linawatatanisha sana watu unanunua vizuri ila ikifika bandalini kwenye ushuru aueleweki ghal utalipa kiasi gani ?Fafanua ulipaji wake wa kodi likifika hapa
Likifika hapa linaweza likakugharimu 8mil malipo ya kodi na vitu vingine,ina maana unahitaji jumla kama 13.5mil,ili uweze kulimiliki mkononi!,ulipaji wa kodi hutegemea hiyo gari ni ya aina gani?,imetengenezwa lini?na ina thamani gani kwa hiyo hubadilika kutegemeana na gari!Fafanua ulipaji wake wa kodi likifika hapa
Kuna gari nissan march inauzwa dola kumi na tisa (us$19) ipo kobe japan
Toyota Ist.
Habari jipatie magari mazuri kutoka Japan na ndani ya nchi,Kama hilo hapo juu lipo Japan gharama ya jumla ya kununua na kulisafirisha mpaka hapa nchini ni 5.5mil,utalipia mwenyewe kodi likifika hapa nchini!,kwa Maelekezo zaidi kwa walio serious ni pm!