Pata mabati imara kwa bei nafuu

Joined
Feb 7, 2019
Posts
25
Reaction score
9
Karibu Yalin global limited tuliopo dar es salaam tabata matumbi ,tunauza mabati aina zote,square pipe na misumari kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba 0689008719 na WhatsApp namba 0672087564.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Bei na mengine please unaweza kuniibox because bei inategemea na kiasi Cha mzigo unaonunua.Karibu inbox kupitia namba zangu muda wote zinapatikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah milioni mbili na nusu kwa bati moja,,kwani yana bluetooth?
 
Mabati kama hayo hayo kuna Mjasiriamali anatengenezea mtaani kwetu.
 
Kwani ukitaja mf.
Bati 1-12 ni tsh 1000
bati 13-50 Ni tsh 750
Bati 51-100 ni tsh 500
Bati 100+ ni tsh 250 kuna shida gani mteja ataelewa na kujipima na kulinganisha na za mtaani kwake atasave kiasi gani ili aje achukue mzigo. Kuliko kuja pm
 
Hizi bati zako kama hazitoki kampuni ya ALAF Limited basi tupa kule hazifai, ndani ya miezi michache baada ya kupaua tegemea hiyo rangi kufubaa.

nb: Sina lengo la kuharibu biashara ila hela ni ngumu kwa hiyo sipendi nione watu wanaumizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…