Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,826
- 1,045
Mkuu tunashukuru kwa taarifa lakini pia pole kwa yaliyokusibu. Mimi nimeuza magenerator mpaka kwenye mataasisi, sijaona mtu akirudi. Na nimesisitiza kuwa tunatoa guarantee ya mwaka mmoja, hatuuziani mtaani bali ni dukani. Karibunisina maana ya kuwaaribia biashara, lakini i am talking fact, na atakyetaka kuamini aje nimuoneshe, these guys are Italians, hayo majenereta wanayoyauza ni "fake" wametuuzia jenereta 1 la Honda la Kv 10 for 8000000, kuja kulipima halifiki hata 5Kvs, so guys be careful na tumeshamkamta mmoja.
sina maana ya kuwaaribia biashara, lakini i am talking fact, na atakyetaka kuamini aje nimuoneshe, these guys are Italians, hayo majenereta wanayoyauza ni "fake" wametuuzia jenereta 1 la Honda la Kv 10 for 8000000, kuja kulipima halifiki hata 5Kvs, so guys be careful na tumeshamkamta mmoja.
Mkuu generator unapimaje, tafadhari tushirikishe elimu hiyo
Asante mkuu kwa sahihisho.Nashangaa sana muuzaji anataja KV badala ya KVA. Ukimuuzia mtu generator la 10KV atalitumia wapi? 10Kv ni umeme mkubwa sana.
Ninazo 1kva. Ila nashindwa kubaini kiwango cha kelele.Kuna zile zina zisizopiga kelele sana, unazo za 1.5kV?
Mkuu ukiniambia mahitaji yako, ndiyo nitajua size. KaribuMkuu naweza pata stand-by generator?
Kwa bei gani?
Karibuni wadau.Karibuni wadau.
sina maana ya kuwaaribia biashara, lakini i am talking fact, na atakyetaka kuamini aje nimuoneshe, these guys are Italians, hayo majenereta wanayoyauza ni "fake" wametuuzia jenereta 1 la Honda la Kv 10 for 8000000, kuja kulipima halifiki hata 5Kvs, so guys be careful na tumeshamkamta mmoja.
Kama wana ofisi haina shida kwa maana unaweza kwnda na mtaalam wako akacheki, na pia lazima wakupe garantii ya say mwaka au miaka miwili, bila garantii sinunui! Halafu hao waitaliano wanaowahi ndege kila siku mbona wanajulikana sana na Noah yao au Rav4!! ilikuwaje mpaka wakawaibia milioni nane? Mtakuwa mnapenda sana mitelemko! Poleni lakini!
View attachment 233950
dah, we ni noma, hawa jamaa wanazingua, hizo honda siyo za japan....bora ukanunue BOSS ndo generator nzuri, angalau au honda OG
Kairibuni wadau.