ANNA SAMORA NKEWA
Member
- Jan 6, 2014
- 54
- 9
Pata benz kwa Tshs 25mil tu, kwa mawasiliano piga 0719 252523
Rahisi hivyo? aya mama
........ ya mwaka gani,
Benzi model ipi?
imetembea kilomita ngapi?
Ushuru na kodi zimelipwa?
Make 1997 E320 model About 150,000km Everything paid including road licence and insurance until 2016
Nilidhani hiyo insurance ni ya owner wa sasa. Akinunua mwingine inabidi akakate insurance yake.