Ina mwez na nusu tu toka niinunue na haijatumika sana,
ni toyo 200cc, inafaa kwa kaz za biashara ya kubeba mizigo na inalipa pia ni imara,
sababu ya kuuza ni kwamba ninaenda masomon hivo sina usimamiz,hvo nimesita kumuachia mtu.
Bei yake ni mil.3 pia maelewano yapo kidogo.
Imesajiliwa T 326 CDV Ipo NYEGEZI MWANZA .
Wasiliana nami kwa 0719 075175.
ni toyo 200cc, inafaa kwa kaz za biashara ya kubeba mizigo na inalipa pia ni imara,
sababu ya kuuza ni kwamba ninaenda masomon hivo sina usimamiz,hvo nimesita kumuachia mtu.
Bei yake ni mil.3 pia maelewano yapo kidogo.
Imesajiliwa T 326 CDV Ipo NYEGEZI MWANZA .
Wasiliana nami kwa 0719 075175.