Ningekuwa na hiyo pesa ningekanunua ila nisichokielewa katika biashara ya magari Tz tunatumia vigezo gani gari kuliita jipya au new model maana mf hapa naona ka passo ka mwaka 2005 kanaitwa kapya! Hivi ni sahihi?
Ningekuwa na hiyo pesa ningekanunua ila nisichokielewa katika biashara ya magari Tz tunatumia vigezo gani gari kuliita jipya au new model maana mf hapa naona ka passo ka mwaka 2005 kanaitwa kapya! Hivi ni sahihi?