Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
ha ha ha muache ajaribu bahati yake,wengine wamefanikiwa kutokana na muonekano wao/kupitia mahusiano.Inawezekana nayeye ameingia kimkakati ili afanikishe anachokitafuta.Kwa hali ya sasa kupata nafasi kwa 'reputable company' kwa fani hizi za kawaida ambazo sio 'technical' ni ngumu sana.Cutelisa kama lilivyo jina lako utakua cute uwe makini watu sio wazuri..toa namba acha email
Sawa mbibiCutelisa kama lilivyo jina lako utakua cute uwe makini watu sio wazuri..toa namba acha email
Naelewa cupcake π»Nakuangalia kila hatua unayopiga
π€£π€£π€£π€£π€£ nyendo za simba...Mungu anakuona baharia.
Hamna, hii email tangu Nipo form one mambo ya AKA na nini, utoto Ule but Ndo email ambayo naitumia siwezi kubadilisha. Nina email nyingine but actually hata situmii na haijazoelekaCutelisa kama lilivyo jina lako utakua cute uwe makini watu sio wazuri..toa namba acha email
Yeah dhana hiyo ipo but kiukweli I don't depend on my appearance, Kama ingekuwa Hivyo ningeenda kwenye Viwanja vya watu ambao wanahayo mambo kwani navijua. Nilifikiri Huku kuna watu ambao kidogo Wapo serious Ndo maana hata nimeweza kutangaza kitu nachohitaji.ha ha ha muache ajaribu bahati yake,wengine wamefanikiwa kutokana na muonekano wao/kupitia mahusiano.Inawezekana nayeye ameingia kimkakati ili afanikishe anachokitafuta.Kwa hali ya sasa kupata nafasi kwa 'reputable company' kwa fani hizi za kawaida ambazo sio 'technical' ni ngumu sana.
Naona ushasave noSawa mbibi
Yeah dhana hiyo ipo but kiukweli I don't depend on my appearance, Kama ingekuwa Hivyo ningeenda kwenye Viwanja vya watu ambao wanahayo mambo kwani navijua. Nilifikiri Huku kuna watu ambao kidogo Wapo serious Ndo maana hata nimeweza kutangaza kitu nachohitaji.
Yes nimewaona and I'm kind of disappointed.Watu walioSerious wapo na ambao hawapo serious pia wapo, nadhani umeshawaona wa aina zote hizo hapa kwenye uzi wako.
Wewe si umenibania namba yako...Naona ushasave no
Ooooohπππ wazee wa fursaπ€£π€£π€£π€£π€£ nyendo za simba
πππππOoooohπππ wazee wa fursa
Yangu ntakupa ukitaka kutuma muamalaWewe si umenibania namba yako...
Whatsup haipoinclude your contacts.
Mkuu upoWewe si umenibania namba yako...
Ok kila kitu ni kujaribuYeah dhana hiyo ipo but kiukweli I don't depend on my appearance, Kama ingekuwa Hivyo ningeenda kwenye Viwanja vya watu ambao wanahayo mambo kwani navijua. Nilifikiri Huku kuna watu ambao kidogo Wapo serious Ndo maana hata nimeweza kutangaza kitu nachohitaji.
Nipo mkuu, wewe ndio umeadimikaMkuu upo
Sikuombi tena namba yakoYangu ntakupa ukitaka kutuma muamala