Naona hata mpira hufwatilii kabisa..
As vita mawemsajili kiungo kutoka mauritania ambaye ndo mbadala wa tonombe na mwingine winga toka cameroon ambaye ni mbadala wa kisinda.
Yeye mwenyewe Tshishimbi kasema bado hawajafikia makubaliano lakini unamuona anafanya mazoezi huoni kama wanataka kuangalia uwezo wake ndo wamle mkataba?