ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kwa aliyetazama game ya Real Madrid na 'watoto'wa ajax Amsterdam atakujax baliana nami kuwa madogo wapo vizuri sana
Nakumbuka Jana Kipindi cha Kwanza karibu chote Mpira umechezewa half ground upande real madrid,kula walivyojitahidi Madrid hawakufanikiwa
Mbali ya ajax kupata goli lililokataliwa na waamuzi kwa msaada wa Var system ati ilikua offside vijana hawa waliweka presha kubwa ambayo walichezewa fail za wazi na refa kuonekana dhahir kuibeba real Madrid
Kiukweli timu ya ajax wanastahili pongezi kubwa kwa aina yao ya uchezaji inayoenda tofauti na umri wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka Jana Kipindi cha Kwanza karibu chote Mpira umechezewa half ground upande real madrid,kula walivyojitahidi Madrid hawakufanikiwa
Mbali ya ajax kupata goli lililokataliwa na waamuzi kwa msaada wa Var system ati ilikua offside vijana hawa waliweka presha kubwa ambayo walichezewa fail za wazi na refa kuonekana dhahir kuibeba real Madrid
Kiukweli timu ya ajax wanastahili pongezi kubwa kwa aina yao ya uchezaji inayoenda tofauti na umri wao
Sent using Jamii Forums mobile app