Pamba ndani ya sikio

Pole sana, nenda magomeni mikumi kwa Dr Ole au ekenywa pale ndio mwisho wa matatizo ya pua, na kinywa.
 
Nenda
1. EL Jumaa ipo kariakoo mtaa wa Sikukuu/Mafia

2.Dr Ekenywa clinic ipo nyuma ya petrol station ya Super star magomeni
Kati ya hao yupi anatibu Bila kuchonokoa chokonoa sikio, maana muhimbili walinichokonoa aisee waliniuniza sana, na mwanzo lilikua haliumi ila baada ya kunichokonoa pale muhimbili ndio limeanza kuuma
 
yeye anafanya sucking ama kupigwa bomba analainisha kwanza na hydrogen peroxide ikilainika inavutwa....ukiwa unaenda kariakoo shuka fire alaf ulizia pale ilipo hospital ya regency
 
yeye anafanya sucking ama kupigwa bomba analainisha kwanza na hydrogen peroxide ikilainika inavutwa....ukiwa unaenda kariakoo shuka fire alaf ulizia pale ilipo hospital ya regency
Pouwaa nashukuru kk ngoja nifanye hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…