umeshachelewa kamanda wakigoma kuchukua madini yetu na wakayabatiza jina la jiwe utamuuzia nani hapa Duniani?
Beberu hashindwi kitu sisi ndio tunamuhitaji zaidi kuliko yeye anavyotuhitaji yeye alishachukua vya kutosha katuliza hazina now anajikosha Kwa kutoa tumisaada uchwara
Imagine wakizuia ARVS na mseto si utadedi kesho wewe?