Osman/Ottoman Empire

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,590
Reaction score
6,956

Kwenu Azam tv, azam two!

Kiuchache tu nisiwachoshe wadau wenzangu na wafuatiliaji wa Osman/Ottoman Empire, inayofuatiliwa na watu wengi.

Ombi langu kwenu Azam tv/Azam two, tunaomba tamthilia/Historia hii ya Osman, muongeze muda wa ziada, atleast li-saa li-moja na dakika thelathini (1.30hr), itapendeza sana ndugu zanguni. Mkuu Maxence Melo tufikishie huu ujumbe tafadhali!


Karibuni sana wananzengo!!
 
Maxence anahusika nini na azam media?
Alafu haya mambo ya watoto wakiume kuangalia tamthilia za ajabu ajabu muache
 
Maxence anahusika nini na azam media?
Alafu haya mambo ya watoto wakiume kuangalia tamthilia za ajabu ajabu muache
mtu aweke King'amuzi mwenyewe
alipie mwenyewe
aangalie mwenyewe tamthilia azipendazo
atokee mtu kusikojulikana ampangie mwenzie wakat hata kikija kuisha hamsaidii kulipia



akiangalia anavunja sheria gani ya nchi??
 
Download mkuu mbona rahisi tu Kama huna PC au simu tafuta kwenye maduka makubwa huko ziko kwenye mfumo wa disk drive
 
Mkuu umri na jinsia yako tafadhali.
 
mtu aweke King'amuzi mwenyewe
alipie mwenyewe
aangalie mwenyewe tamthilia azipendazo
atokee mtu kusikojulikana ampangie mwenzie wakat hata kikija kuisha hamsaidii kulipia



akiangalia anavunja sheria gani ya nchi??
Sasa Max ni nani pale Azam media hadi amuombe aongee na uongozi wa Azam media kuhusu hiyo mitamthilia iongezwe muda?
 
Tukufundishe kuwajua watu wa Azam sasa kuna huyu Elius.
Kuna huyu Lameck watumie hawa na liwe ni wazo la viewers wengi wa hilo liupuuzi (kwa wanaume)
 
Nani mtoto hapa? Kuwa na heshma mkuu. Na kaa utambue hii sio bongo movie, hii ni ottoman empire wanaume wa shoka, ilishawahi kutokea miaka ya nyuma.
Tafuta hela mkuu


Mwanaume na tamthilia wapi na wapi
 
Sasa Max ni nani pale Azam media hadi amuombe aongee na uongozi wa Azam media kuhusu hiyo mitamthilia iongezwe muda?
mimi sjaongelea la max nimeongelea hilo la kumpangia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…